Ulimwengu
Afisa mkuu wa Jeshi la Marekani ajiuzulu, kwa hatia ya kuchangia mauaji ya watu wengi Gaza
Harrison Mann, afisa wa zamani wa ujasusi wa kijeshi, anasema alijisikia "aibu na hatia" kwa kusaidia kuendeleza sera ya Marekani iliyochangia mauaji ya umati ya Wapalestina huko Gaza mikononi mwa Israel.Türkiye
Erdogan aikosoa Marekani kwa kuwakandamiza waandamanaji kwenye vyuo vikuu
Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza yameingia siku ya 209 huku yakiua Wapalestina 34,596, asilimia 70 wakiwa wanawake na watoto wadogo. Zaidi ya watu 77,816 wamejeruhiwa na wengine zaidi ya 10,000 wanahofiwa kufukiwa kwenye majengo yalioharibiwa.
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu