| swahili
Habari zaidi
Michezo
Nigeria yafungiwa nje ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kushindwa na DRC
Nigeria yafungiwa nje ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kushindwa na DRC
JJamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iliweka hai matumaini ya kufuzu Kombe la Dunia ilipoilaza Nigeria 4-3 kupitia mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1-1 mwishoni mwa muda wa nyongeza na kushinda mechi ya kufuzu nchini Morocco Jumapili.