SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Naomi William
TRT Afrika
TRT Afrika
Makala za Mwandishi
Ajali ya Mv Bukoba: Mamlaka za Tanzania zazidi kujipanga, miaka 29 baadaye
Meli ya Mv Bukoba ilizinduliwa mwaka 1979 na Rais wa kwanza wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere, ilidumu kwa miaka 17 tu, na kupinduka ikiwa katika safari zake za kawaida, ikitokea katika bandari ya Bukoba kupitia Kemondo.
6 dk kusoma
Gugumaji jipya linavyotishia uhai wa viumbe hai Ziwa Victoria, Tanzania
Nchini Tanzania Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo aina mpya ya gugumaji lijulikanalo kama ‘Salvinia SPP’ limebainika ndani ya Ziwa Victoria.
4 dk kusoma
Ufugaji nzi chuma ulivyogeuka lulu kwa Angela Mauto
Wakijulikana kama Hermetia Illucens kwa lugha ya kisayansi, nzi hawa hupatikana katika mabara ya Marekani ya Kusini na Kaskazini, sehemu za Afrika, Ulaya, Asia pamoja na Australia.
3 dk kusoma
Eneo la Tanzania linavyozidi kumezwa na bahari
Kulingana na Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO), wastani wa viwango vya vina vya bahari kina cha bahari duniani vimeongezeka kwa kasi zaidi katika karne ya 21 kuliko karne nyingine yoyote katika miaka 3,000 iliyopita.
4 dk kusoma