MAONI
Bara la Afrika linavyopambana na ustawi wa hifadhi ya jamii
Bara la Afrika bado lipo nyuma katika utekelezaji wa sera ya hifadhi ya jamii, ukilinganisha na maeneo mengine ulimwenguni, hali inayowaacha watu wake katika changamoto mbalimbali za kiuchumi na kijamii.



