|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Utajiri wa Afrika: Timbila, sauti ya muziki ya Msumbiji
Timbila ni ala inayotengenezwa kwa ustadi mkubwa kutokana na mbao zilizosawazishwa zenye sauti mbalimbali.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Kubuni miji kwa ajili ya watoto: Muongozo mpya wa maeneo ya umma barani Afrika
Mwongozo mpya wa kimataifa umebuniwa ili kutoa mwelekeo wa vitendo unaolinda na kuimarisha haki ya mtoto ya kucheza kama sehemu ya msingi ya upangaji wa miji.
Na
Pauline Odhiambo
Njaa inayosababishwa na ukame kaskazini mashariki mwa Kenya yaua watoto na mifugo
Wakazi wa kaunti ya Mandera nchini Kenya wanahofia watoto wao kufa kutokana na njaa, wakati wakichoma mifugo iliyokufa huku vyanzo vya maji vinakauka na upatikanaji wa chakula ukiendelea kuwa tatizo.
Hii ndiyo historia ya upigaji ‘Panenka’
Baadhi ya wachezaji maarufu waliowahi kufunga kwa mtindo huu ni pamoja na Andrea Pirlo, Zinedine Zidane, Alexis Sanchez, Sebastian Abreu na Francesco Totti.
Na
Edward Josaphat Qorro
Pape Bouna Thiaw wa Senegal ni nani?
Kama ulitazama fainali za Kombe la Dunia mwaka 2002, zilizoandaliwa kwa pamoja kati ya Japan na Korea Kusini, basi utamkumbuka mwamba huyo.
Na
Wazir Khamsin
UTAJIRI WA AFRIKA: THIEBOUDIENNE, MLO UNAOUNGANISHA SENEGAL
Tafsiri yake ni "wali samaki," ambayo inaelezea kwa usahihi aina ya mlo huu. Asili yake inatokana na eneo la Saint-Louis, mji wa pwani kaskazini mwa Senegal unaojulikana kwa uhodari wake wa uvuvi.
By
Coletta Wanjohi
MAKALA YA SIASA
Baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri nchini Tanzania 2025
Yaliyojiri 2025: Siasa za Kenya baada ya kifo cha Raila Odinga
Coletta Wanjohi
Ugumu wa kuwa na umoja wa Afrika bila kuwa na Palestina huru
Rais wa Uganda Museveni amewezaje kuwepo madarakani kwa miaka 40?
Rais Yoweri Museveni ameeleza kuwepo kwake madarakani kwa muda mrefu ni kutokana na ulazima wa mazingira na wala siyo maslahi binafsi ingawa wachanganuzi wanasema ni kutokana na kuwa katika eneo la kimkakati.
Kwanini kuanguka mtihani sio kuanguka maisha
Kutopata daraja halisi ulilotaka au kukosa nafasi ya kuingia Chuo Kikuu haimaanishi kuwa maisha yako ya baadaye yamefungwa.
Na
Yusuf Dayo
Sadio Mane: Mchezaji makini uwanjani
Wanasema usifanye maamuzi ukiwa na hasira au pia ukiwa na furaha kupitiliza, huenda yasiwe na busara au kupatikana tija.
Na
Wazir Khamsin
Utajiri wa Afrika : Ziwa Victoria Afrika Mashariki
Ziwa Victoria pia linajulikana kwa majina ya Ziwa Nyanza, Nam Lolwe (Luo) na Nnalubaale (Luganda).
Na
Coletta Wanjohi
Wagombea Urais Uganda 2026
Rais Yoweri Museveni ambae amekuwa madarakani tangu 1986 ni miongoni mwa wagombea wanaotaka kuchaguliwa kwa awamu nyengine.
Na
Coletta Wanjohi
Usiku wangu katika kijiji cha wanawake nchini Kenya
Baadhi ya wanawake hawa, waliwahi kupitia manyanyaso ya kijinsia ikiwemo kupigwa au hata kufukuzwa wakiwa na waume zao.
Na
Kevin Philips Momanyi
ISHOWSPEED NI NANI, NYOTA WA MTANDAONI ALIYEVUMA KENYA?
IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.
By
Brian Okoth
Waandishi
Rangi za vyama vya siasa zinavyohamasisha wapiga kura Uganda
3 dk kusoma
Kenya kuanza kufuatilia taasisi za umma zisizotoa vituo vya malezi kwa wazazi wenye watoto wadogo
5 dk kusoma
Fat-hiya Omar
Kwa nini marufuku ya muguka Mombasa, Kenya ni kizungumkuti?
5 dk kusoma
Jinsi AFCON ilivyotoa fursa za kibiashara kwa wasanii na wafanyabiashara wa Afrika
2 dk kusoma
UTAJIRI WA AFRIKA: UZALISHAJI WA MAFUTA LIBYA WAREJEA
Mwaka 2025, Libya ilizalisha wastani wa juu zaidi wa mafuta ghafi katika zaidi ya muongo mmoja, na kufikia takriban mapipa milioni 1.37 kwa siku.
By
Coletta Wanjohi
1x
00:00
00:00