|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Kwa nini mashambulizi yanaongezeka Nigeria licha ya kuwepo kwa vikosi vya Marekani?
Wachambuzi wanasema Marekani ilikurupuka na kusema ni mauaji ya halaiki dhidi ya Wakristo bila kufahamu tatizo kubwa la ugaidi nchini Nigeria.
Na
Charles Mgbolu
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Kenya na Ethiopia vinara wa zao la maua
Wazalishaji hawa wakuu wa maua barani Afrika sasa wanakabiliwa na kushuka kwa kasi kwa biashara kutokana na mzozo wa Mashariki ya Kati.
Na
Coletta Wanjohi
Athari ya mzozo kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa Mazingira
Makadirio ya wataalam ya athari za mzozo huo yanaonyesha kuwa uzalishaji wa hewa chafu za kaboni unaotokana na mzozo ulifikia zaidi ya tani milioni 5 katika wiki mbili za kwanza za vita
Na
Coletta Wanjohi
Wake wa viongozi wa Afrika: Janet Museveni wa Uganda
Janet Museveni amekuwa mwanasiasa na mke wa rais wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki tangu 1986 wakati mume wake Rais Yoweri Museveni alipochukua uongozi.
Na
Coletta Wanjohi
Kilimo ikolojia kinavyozalisha mamilionea Kaskazini mwa Tanzania
Eneo la Karatu linafaidika kwa ukaribu wake na ukanda wa utalii wa kaskazini, unaovutia maelfu ya watalii kila mwaka.
TRUMP AONGEZA SHINIKIZO KWA IRAN, ATISHIA HATUA KALI IWAPO HAKUTAKUWA NA MAKUBALIANO
Kwa mara nyingine, Rais wa Marekani Donald Trump ameibuka na mkakati wa shinikizo kali dhidi ya Iran kwa kutoa muda wa saa 48 kufikiwa kwa makubaliano, akionya kuwa Iran itakiona cha mtema kuni iwapo haitatii sharti hilo.
By
Mustafa Abdulkadir
MAKALA YA SIASA
Lengo halisi la Marekani na Israel kuzishambulia Iran ni lipi?
Mustafa Abdulkadir
Usafiri wa anga Mashariki ya Kati waendelea kuathirika
Coletta Wanjohi
Athari za Iran kufunga Mlango Bahari wa Hormuz
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Afrika inadai fidia
Umoja wa Afrika umeongeza rasmi ajenda ya kutafuta jinsi ya kulipwa fidia kwa bara kuwa kati ya 2026–2036 na Marais pia wameamuru kuanzishwa kwa mifumo ya kitaasisi ili kuendeleza haki ya ulipaji.
Na
Coletta Wanjohi
Namna mradi wa dola milioni $240 unavyotoa fursa kwa jamii za pwani ya Benin na Mauritania
Mradi huo wa Benki ya Dunia unalenga kuwalinda watu wa maeneo ya pwani ya Benin na Mauritania dhidi ya mmonyoko wa udongo na mafuriko huku ukiimarisha uchumi unaotokana na bahari.
Na
Pauline Odhiambo
Togo yatoa uzoefu wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele
Kulingana na wataalamu, mafanikio ya Togo katika kutokomeza magonjwa yasiyopewa kipaumbele, yanatoa funzo kubwa kwa bara la Afrika la namna ya kuendeleza mapambano dhidi ya magonjwa hayo.
Utajiri wa Afrika: Uganda kujenga upya utajiri wa faru
Faru wawili weupe wa kusini walihamishwa wiki iliyopita kutoka ranchi binafsi, na kuwa wanyama wa kwanza kati ya wanane waliopangwa katika kuishi katika mbuga hiyo.
Na
Coletta Wanjohi
Abbas Araghchi, sauti ya kidiplomasia inayoiwakilisha Iran katikati ya mgogoro
Araghchi ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mmoja wa wanadiplomasia wenye uzoefu katika eneo la Mashariki ya Kati.
Natasha Museveni: Binti wa kwanza wa Rais wa Uganda mwenye nafasi ya kipekee
Natasha Museveni hana nafasi serikalini, lakini amekuwa machoni mwa watu kutokana na nafasi yake katika mitindo na filamu huku akisaidia uongozi wa baba yake.
UTAJIRI WA AFRIKA: ALMASI YA JANGWANI
Soko la mitindo ya kisasa linaanza kuikumbatia aina nyingine ya almasi, inayoitwa "Almasi ya jangwani," au “Desert diamonds” ambayo inavaliwa kwa asili yake bila kuboreshwa
By
Coletta Wanjohi
Waandishi
Coletta Wanjohi
Kwa nini biashara haramu ya siafu inazidi kuongezeka?
3 dk kusoma
Edward Josaphat Qorro
Zijue alama na vivutio maarufu Afrika Mashariki
2 dk kusoma
Utamaduni, vyakula, mapambo, katika ufunguzi wa Wiki ya Utamaduni ya Ghana
3 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Mgogoro wa Mashariki ya Kati hasara kwa mauzo ya nyama Kenya
3 dk kusoma
UTAJIRI WA AFRIKA: VYUNGU MAALUM VYA BOTSWANA
Kinachofanya ufinyanzi wa Botswana kuwa wa kipekee ni kuanzia kile wanachoamini kuwa ni muongozo kutoka kwa mababu katika ukusanyaji wa udongo.
By
Coletta Wanjohi