|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Kenya yapigia mfano Uturuki katika uboreshaji wa uwanja wa ndege wa JKIA
Umaarufu na weledi wa Uturuki katika huduma za anga unazidi kuvupa mipaka, huku Kenya ikijaribu kuiga mfano wan nchi hiyo katika kuboresha miundombinu yake.
Na
Nuri Aden
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Mke wa Rais wa Nigeria amzuia Gavana Kuimba
Mke wa Rais wa Nigeria, Remi Tinubu, amemzuia Gavana wa jimbo la Osun, Ademola Adeleke, kuimba katika sherehe ya miaka 10 ya kiongozi mkuu wa jadi wa Nigeria aliyeheshimiwa sana.
Kwanini Afrika inatishiwa na 'utasa' licha ya kuwa na idadi inayokua zaidi duniani
Miongoni mwa changamoto kubwa za utasa ni kuwepo kwa shinikizo kutoka kwa jamii hasa kwa wanandoa.
Na
Yusuf Dayo
Khalid Aucho: Nahodha wa timu ya Uganda
Nahodha wa timu ya taifa ya Uganda ni Khalid Aucho ambaye kwa sasa anakipiga na timu ya katikati mwa Tanzania Singida Black Stars.
Na
Wazir Khamsin
Kutana na Carter, Sokwe Mtu maarufu ndani ya hifadhi ya Mahale nchini Tanzania
Muda mwingi, Carter huonekana akitembea kwa utulivu ndani ya kundi kubwa la sokwe, akifurahia maisha ya amani anayoyaishi na jamii ya kundi lake.
KWA NINI SHERIA HAZILINDI WASICHANA DHIDI YA NDOA ZA KULAZIMISHWA?
Ndoa za kulazimishwa zimekithiri katika sehemu kadhaa za Afrika kwani umaskini, ushirikina, dhiki ya hali ya hewa na ulegevu wa utekelezaji unapuuza sheria za ulinzi, na kuwafanya mamilioni ya wasichana kuingia katika ndoa za lazima.
MAKALA YA SIASA
Ugumu wa kuwa na umoja wa Afrika bila kuwa na Palestina huru
Utekaji wa wafanyakazi wa misaada waongezeka mara mbili zaidi Sudani Kusini
Somalia yafungua milango ya fursa kwa kutumia viza mitandao
Nuri Aden
Katika picha: Wapalestina huko Gaza wafanya harusi kubwa ya pamoja licha ya kuwa na hali tete
Wanandoa 54 walifunga ndoa katika harusi kubwa iliyofanyika kati ya magofu huko Khan Younis, ambayo ilisababishwa na Israel.
Mama Amina na harakati za kuokoa wenye matatizo ya afya ya akili Kenya
Kutoka umahiri wa masuala ya utalii hadi kuokoa maisha: Amina Abdallah, Mkurugenzi aliyeacha tasnia aliyopenda na kuamua kupambana na janga la afya ya akili.
Na
Nuri Aden
Namna mbio za ngamia zinavyoimarisha uchumi wa utamaduni kaskazini mwa Kenya
Mbio za ngamia katika eneo la Maralal kaunti ya Samburu zimekuwa hafla muhimu za mwaka ambapo jamii za eneo hilo, watalii na wadau wanakutana, kukiwa na tamasha la michezo, tamaduni na biashara kaskazini mwa Kenya
Na
Millicent Akeyo
Utajiri wa Afrika: Volkano za Afrika
Barani Afrika kuna baadhi ya volkano za ajabu zaidi duniani likiripotiwa kuwa na zaidi ya volkano 100 ambazo zinaweza kulipuka wakati wowote.
Na
Coletta Wanjohi
Bin Agil: Mapishi ya pwani na ladha asili mjini Mombasa
Katika mtaa wa Majengo, eneo la Mvita,mji wa kitalii wa Mombasa upepo mwanana wa bahari unaambatana na harufu ya biashara za karne nyingi za Bahari ya Hindi, ndipo anapopatikana mmoja wa wataalamu wa mapishi.
Na
Nuri Aden
Rais wa Sierra Leone: Julius Maada Bio
Unafahamu taifa la Sierra Leone lenye idadi ya watu milioni 9? Nchi hiyo iko Afrika Magharibi na Rais wake ni Julius Maada Bio.
Na
Wazir Khamsin
KINACHOFANYA KUPOOZA USINGIZINI KUWA ZAIDI YA TATIZO LA KIAFYA
Kupooza usingizini huhusisha sayansi na imani za kiroho, na kuonyesha jinsi tamaduni zinavyoathiri namna watu wanavyoitikia hali inayochanganya kati ya uhalisia, ndoto, na udhaifu wa kibinadamu mbele ya hofu.
By
Firmain Eric Mbadinga
Waandishi
Edward Josaphat Qorro
Clement Mzize: Mtanzania wa kwanza kutwaa kiatu cha dhahabu CAF
2 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Guinea kufaidi kutoka kwa madini ya chuma
3 dk kusoma
Wazir Khamsin
Bassirou Diomaye Faye: Rais wa Senegal
2 dk kusoma
CAF yatangaza wasimamizi maarufu wa sherehe ya Tuzo za CAF 2025
3 dk kusoma
UTAJIRI WA AFRIKA: MISITU, DHAHABU YA KIJANI GABON
Misitu ya Gabon ni ya pili kwa ukubwa baada ya msitu wa Amazon ulioko Brazil.
By
Coletta Wanjohi
1x
00:00
00:00