|
swahili
|
swahili
MAKALA MAALUM
Utajiri wa Afrika: Matumbawe ya Ushelisheli
Matumbawe yanasaidia msururu mkubwa wa viumbe vya baharini na yana jukumu muhimu katika kudumisha bayoanuwai ya baharini.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Makala kuu wiki hii
Rais wa Gambia Adama Barrow
Rais wa Taifa la Gambia au The Gambia ni Adama Barrow mwenye umri wa miaka 60.
Shinikizo la damu: Kuziba mapengo yanayozidi kuwa mabaya ya matibabu barani Afrika
Matukio ya shinikizo la damu yanaongezeka kote barani Afrika na kwingineko, huku ikisababisha vifo vya watu milioni 10 duniani kote kila mwaka na mifumo ya afya ikihangaika kutoa matibabu ya bei nafuu kwa walio hatarini.
Jaramogi Oginga Odinga: Baba yake Raila Odinga
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga alizikwa siku ya Jumapili nyumbani kwake magharibi mwa Kenya. Wengi wamemtaja kuwa mwanasiasa hodari, mzalendo na mwanamajumui.
Na
Wazir Khamsin
Raila Odinga na simulizi ya kutumia pasipoti ya Tanganyika kuingia Ujerumani
Pasipoti hiyo ya muda ilitolewa kwa Raila na vijana wengine wawili, kabla ya Tanganyika kuungana na Zanzibar mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania.
Na
Edward Josaphat Qorro
Afrika Kusini yaanzisha mwalimu wa roboti wa AI
Roboti huyo anayejulikana kama IRIS, ana uwezo kufunza kwa kutumia lugha za Afrika Kusini, ikiwemo isiZulu, Afrikaans, Sesotho, na Kiingereza.
Makala ya Siasa
Ugumu wa kuwa na umoja wa Afrika bila kuwa na Palestina huru
Utekaji wa wafanyakazi wa misaada waongezeka mara mbili zaidi Sudani Kusini
Somalia yafungua milango ya fursa kwa kutumia viza mitandao
Nuri Aden
Buriani Raila Amolo Odinga
Mwanasiasa huyo mkongwe nchini Kenya amefariki dunia Oktoba 15, 2025 nchini India, alipokuwa akipokea matibabu.
Safari ya Raila Odinga kutafuta Urais Kenya
Raila Odinga aliazimia miaka mingi kuingia Ikulu Kenya kama Rais, japo kila jaribio lake lilisindikana, na kuachiwa sifa ya kuwa muandaaji wa wafalme, bila yeye mwenye kuweza kuwa mfalme.
Marekani katika kizungumkuti cha kutumia dhahabu yake kulipia deni la taifa
Deni la taifa la Marekani limevuka viwango vya kihistoria - na baadhi ya wachambuzi wanaonya nchi hiyo hivi karibuni inaweza kutegemea akiba yake ya dhahabu kwa ukombozi.
Misaada yapungua Sudan Kusini huku waliopoteza makazi wakikabiliana na majanga
Wamejikuta katikati ya mzozo na athari za tabianchi, jamii za waliopoteza makazi yao Sudan Kusini zinajikuta zikikabiliana na vurugu, mafuriko na kukosa misaada ya kutosha
Kenya yavuna mahindi katika mpango wa Galana Kulalu
Ekari 330 za mahindi zitavunwa kwa muda wa siku tano zijazo, maji yakiwa tayari yanapatikana kutoka kwenye mabwawa mawili madogo, mshirika binafsi aitwaye Selu Limited hivi karibuni ataweza kumwagilia ekari 6,300.
Na
Coletta Wanjohi
Watanzania waaswa kuepuka vurugu kuelekea uchaguzi mkuu
Serikali kupitia vyombo vyake vya dola, imewatahadharisha wananchi dhidi ya kujihusisha na vitendo ambavyo vinaweza kuvunja amani, huku ikiahidi kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kufanya hivyo.
Patrick Herminie: Rais mpya wa Ushelisheli ni nani?
Patrick Herminie alikuwa mwanachama wa People's Party, aligombea katika uchaguzi wa urais wa 2025 kama mgombeaji wa United Seychelles.
Waandishi
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Kasuku wa kijivu wa Afrika
3 dk kusoma
Marudio ya historia ya 1903: Afrika iliwahi kutolewa kwa Wayahudi, Wapalestina wapangiwa hatma hiyo
5 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman kiongozi wa uhalifu wa kivita Darfur, Sudan
2 dk kusoma
Miaka miwili ya mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza. Marekani ilivyomkinga Netanyahu
6 dk kusoma
Hukumu ya kifo ya Jospeh Kabila inavyotikisa diplomasia na siasa ndani na nje ya DRC
Waangalizi wengi wa kimataifa na DRC wanasema kesi hiyo ilikuwa na muelekeo wa wazi wa kisiasa hivyo kuibua maswali kuhusu utaratibu unaostahili na utekelezwaji wa vyombo vya mahakama.
By
Yusuf Dayo