|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Wagombea Urais Uganda 2026
Rais Yoweri Museveni ambae amekuwa madarakani tangu 1986 ni miongoni mwa wagombea wanaotaka kuchaguliwa kwa awamu nyengine.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Usiku wangu katika kijiji cha wanawake nchini Kenya
Baadhi ya wanawake hawa, waliwahi kupitia manyanyaso ya kijinsia ikiwemo kupigwa au hata kufukuzwa wakiwa na waume zao.
Na
Kevin Philips Momanyi
IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya?
IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.
Na
Brian Okoth
Rangi za vyama vya siasa zinavyohamasisha wapiga kura Uganda
Kila chama kilichosajiliwa kina utambulisho wake unaotumika kuhamashisha wapiga kura.
Kenya kuanza kufuatilia taasisi za umma zisizotoa vituo vya malezi kwa wazazi wenye watoto wadogo
Kwa mujibu wa taarifa za serikali, sehemu nyingi za kazi za umma - ikiwa ni pamoja na taasisi za elimu na ofisi za utumishi wa umma - zimechelewa katika kutenga maeneo salama na ya kuaminika ya malezi ya watoto, licha ya mfumo uliopo wa kisheria
KWA NINI MARUFUKU YA MUGUKA MOMBASA, KENYA NI KIZUNGUMKUTI?
Gavana Nassir amesema muguka ni “tishio kubwa kwa afya ya vijana” na haina manufaa yoyote ya kitabibu, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kulinda afya ya umma ndani ya Kaunti ya Mombasa.
By
Fat-hiya Omar
MAKALA YA SIASA
Baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri nchini Tanzania 2025
Yaliyojiri 2025: Siasa za Kenya baada ya kifo cha Raila Odinga
Coletta Wanjohi
Ugumu wa kuwa na umoja wa Afrika bila kuwa na Palestina huru
Jinsi AFCON ilivyotoa fursa za kibiashara kwa wasanii na wafanyabiashara wa Afrika
Katika maeneo maalum kama Fan Zone na maeneo ya mikusanyiko ya mashabiki, wasanii wanapata nafasi ya kuonyesha kazi zao kwa hadhira pana ya kimataifa.
Utajiri wa Afrika: Uzalishaji wa mafuta Libya warejea
Mwaka 2025, Libya ilizalisha wastani wa juu zaidi wa mafuta ghafi katika zaidi ya muongo mmoja, na kufikia takriban mapipa milioni 1.37 kwa siku.
Na
Coletta Wanjohi
Kwa nini Afrika inatakiwa kuwa na wasiwasi kuhusu uvamizi wa Trump Venezuela
Wataalamu wanaonya kuwa hatua ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela inaweza kufungua njia ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya viongozi wa mataifa mengine ambayo yamewahi kuwa katika mvutano na utawala wa Rais Donald Trump.
Je, ajenda ya Marekani kubadili mfumo itafanikiwa Venezuela?
Kwa kushambulia Venezuela, utawala wa Trump umeonyesha umakini wake wa kurejea Mafundisho ya Monroe ya 1823, ambayo yalifikiria utawala wa Marekani kote Amerika.
Umuhimu wa mashabiki mchezoni
Hivi ni kweli mchezo haunogi bila mashabiki? Kwani mashabiki wanachangia kwa kiasi gani kwa timu ya nyumbani kupata ushindi?
Na
Wazir Khamsin
Upigaji kura wa wananchi wa Mogadishu baada ya miaka 60, una maana gani kwa demokrasia ya Somalia?
Hatua ya kihistoria ya Somalia kuelekea mfumo wa kura ya moja kwa moja inategemea iwapo uchaguzi huu wa kihistoria utaweza kuimarisha demokrasia bila kuvunja makubaliano yanayohitajika ili kuilinda.
Na
Nuri Aden
UTAJIRI WA AFRIKA: JAMII YA TURKANA
JAmii ya Turkana wanaunda sehemu ya makabila ya Nilotic na wanachukuliwa kuwa jamii ya tatu kwa ukubwa wa wafugaji nchini Kenya, baada ya Wakalenjin na Wajaluo, wakiwa wengi zaidi kuliko Wamasai.
By
Coletta Wanjohi
Waandishi
Mustafa Abdulkadir
Sudan 2025: Vita, wakimbizi, na taifa lililogawanyika
4 dk kusoma
Edward Josaphat Qorro
Wafahamu baadhi ya ndugu na mapacha waliowahi kucheza pamoja michuano ya AFCON
2 dk kusoma
Kwa nini kuzuiwa kwa bandari kunazua taharuki Afrika Mashariki
3 dk kusoma
Yusuf Dayo
Afrika yajivunia mafanikio makubwa 2025
5 dk kusoma
AFCON 2025: TANZANIA KUTUPA KARATA YAKE YA NNE
Mara ya kwanza kwa Tanzania kushiriki michuano ya AFCON ilikuwa ni mwaka 1980 nchini Nigeria, enzi za akina Jela Mtagwa, Leodgar Tenga, Peter Tino na wengine.
By
Edward Josaphat Qorro
1x
00:00
00:00