|
Swahili
|
Swahili
MAONI
VIJANA WA ZAMBIA WANAVYOTENGENEZA MUSTAKABALI WA TAIFA LAO
Kwa Zambia ya leo, kuwa kijana ni sawa na kusimama njia panda. Kesho yetu haiko mbali, bali ni tunayoiandaa leo.
Kennedy Chileshe
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MICHEZO
AFRIKA
Maoni
Djibouti: Taifa dogo lenye diplomasia ‘nyingi’
Wakati eneo la Pembe ya Afrika likitawala na kila aina na migogoro, uwezo wa Djibouti kidiplomasia unajitanabaisha.
Na
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Kwa nini ushirikiano na Uturuki ni muhimu katika uongozi wa Waziri Mkuu wa Japan Sanae Takaichi
Wadhifa wa Uwaziri Mkuu wa kwanza wa taifa hilo la bara Asia unatoa fursa kwa Uturuki na Japan kufufua ushirikiano wao ambao haukufanikiwa enzi za Abe.
Vita vya Sudan: Kwa nini umuhimu wa kisiasa lazima ubakie Afrika
Huku jamii ya kimataifa ikionekana kuchanganyikiwa au kuingilia kati, uzito wa suala hili linakuwa jukumu la viongozi wa Afrika
Wadau muhimu wanaoimarisha bara la Afrika ni raia wake wanaoishi nje
Watu zaidi ya milioni 170 wenye asili ya Afrika ni sehemu ya watu wanaoishi nje ya nchi, licha ya uwezo wao kutozingatiwa vyema
NAMNA MJADALA WA CHUKI DHIDI YA WAISLAMU UINGEREZA UNAONESHA UBAGUZI
Uingereza imetambua chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) kama aina ya ubaguzi wa rangi kwa muda mrefu. Kwa nini basi, takriban muongo mmoja baadaye, chuki dhidi ya Waislamu bado inatumiwa kama mjadala wa kisiasa?
SIASA
Wapalestina wanavyotumia sanaa kupinga dhuluma na manyanyaso
Berire Kanbur
Kutimuliwa kwa Rasool Marekani kulipangwa na serikali ya Trump
Marekani imekosea kumpiga marufuku balozi wa Afrika Kusini Ebrahim Rasool
Vita vya Sudan: Kuiondoa UAE na kuiweka Uturuki kunaweza kuimarisha juhudi za kimataifa za amani
Jumuiya ya kimataifa inapaswa kuchukua hatua muhimu kuwaokoa wananchi wa Sudan dhidi ya wapiganaji wa RSF na washirika wao wa kigeni.
Kuanzia vifo vya taratibu hadi mauaji ya ukatili: Kutoweka kwa utu Al Fasher
Muenendo wa sasa duniani hautoi tena suluhu au kuangazia upatikanaji wa haki. Hilo limeonekana Gaza, na kabla ya hapo Bosnia na Rwanda. Sasa, inaonekana tena Sudan.
Kutoka Baghdad hadi Abuja: Muenendo wa Marekani wa zamani wa uhuru na uharibifu
Madai ya Trump kuhusu mauaji ya halaiki ya Wakristo nchini Nigeria na vitisho vya mashambulizi ya kijeshi ni muenendo waliyozowea Marekani kwa kisingizio cha misaada kwa watu.
Mpango wa China kuhusu uongozi wa dunia unafanana na wa Uturuki hasa kuhusu mfumo mpya wa dunia
Wakati Marekani chini ya Donald Trump ikijiondoa katika majukumu yake ya kimataifa, Beijing inachukua nafasi hiyo kujaza pengo huku mfumo wa dunia ukipangwa upya.
Uturuki yaingilia kati: Jinsi diplomasia ya Erdogan ilivyosaidia kufanikisha usitishaji vita Gaza
Kuwepo kwa mashaka na makubaliano yaliyoshindikana, hatua ya Uturuki kujiunga katika mazungumzo, ikiungwa mkono na diplomasia ya kibinafsi na wa kiintelijensia, iligeuza pendekezo lililoonekana kuwa dhaifu kuwa makubaliano yanayotekelezeka.
Kumbukumbu za Oktoba 7: kinachokumbukwa na matokeo yake kufikia sasa
Miaka miwili baadaye, matukio ya Oktoba 7 bado ni tata. Simulizi inayojitokeza inategemea tafisri ya matukio, namna dunia inavyoitizama Israel, Palestina, na uwezekano wa kupatikana kwa amani iliyo tete.
WAKATI SHERIA HAZITUMIKI KWA ISRAELI: SUMUD FLOTILLA NA KUSHINDWA KWA HAKI YA KIMATAIFA
Ikiwa kizuizi kisicho halali kinaweza kutoa udhuru wa utekaji nyara meli za misaada katika maji ya kimataifa, basi hakuna bendera iliyo salama, na sheria ya bahari ni uvumi tu.
Waandishi
Kiswahili, siyo Kifaransa, ndiyo lugha sahihi Afrika Mashariki
3 dk kusoma
Je mashambulizi ya RSF huko El-Fasher yatakuwa Gaza nyingine?
3 dk kusoma
Kumkumbuka Aysenur Ezgi Eygi: Mapambano ya haki yanaendelea
6 dk kusoma
Mashambulizi dhidi ya Waislamu Uingereza hayaangaziwi na vyombo vya habari
3 dk kusoma
SUDAN: KUTOKA KUWA KOLONI LA UINGEREZA HADI KUWA TAIFA HURU
Sera ya uwili ambayo iligawanya Sudan ya kusini na ile ya kaskazini, huenda ikawa ndiyo chimbuko la matatizo ambayo Sudan inapitia hii leo.
1x
00:00
00:00