| swahili
Habari zaidi
Michezo
Wanariadha wa Kenya washinda mbio za marathon za New York kwa wanaume na wanawake
Wanariadha wa Kenya washinda mbio za marathon za New York kwa wanaume na wanawake
Kenya iliwakilisha vyema kwa mbio za Marathon za New York Jumapili, wakati Benson Kipruto alipomaliza kwa muda wa saa mbili dakika nane na sekunde tisa kwa wanaume huku Hellen Obiri akiweka rekodi ya New York kwa wanawake katika muda wa 2:19:51.