| Swahili
Habari zaidi
Michezo
Ivory Coast yamrejesha kikosini Wilfred Zaha kwa ajili ya fainali za AFCON
Ivory Coast yamrejesha kikosini Wilfred Zaha kwa ajili ya fainali za AFCON
Zaha, mwenye umri wa miaka 33, ambaye kwa sasa anachezea timu ya Charlotte, inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani, alikuwa sehemu ya kikosi cha wachezaji 26 ambacho kitakabaliana Msumbiji, Cameroon na Gabon kwenye Kundi F.