| swahili
Habari zaidi
Michezo
Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu
Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu
Sampuli yake ya mkojo iliyochukuliwa mwezi Machi ilionyesha kiwango cha dawa hiyo kilichozidi kiwango kinachoruhusiwa mara 190.