| Swahili
Habari zaidi
Michezo
Iran yaishutumu Marekani kwa 'ubaguzi ' kufuatia kukataliwa kwa viza za Kombe la Dunia kwa maafisa
Iran yaishutumu Marekani kwa 'ubaguzi ' kufuatia kukataliwa kwa viza za Kombe la Dunia kwa maafisa
Ubalozi wa Iran uliishutumu Marekani kwa ubaguzi wa kimakusudi baada ya viza kutotolewa kwa wafanyikazi wasimamizi na washauri wa kiufundi wa timu ya taifa.