| Swahili
Habari zaidi
Michezo
Serikali ya Somalia yasikitishwa na hatua ya kuzuiwa kwa mwamuzi wa nchi hio kuingia Marekani
Serikali ya Somalia yasikitishwa na hatua ya kuzuiwa kwa mwamuzi wa nchi hio kuingia Marekani
Serikali ya Somalia ilifanya juhudi za kidiplomasia na mamlaka husika, lakini hazikuzaa matokeo chanya, wizara ya mambo ya nje yasema.