- Ukurasa wa nyumbani
- Maoni
Fahrettin Altun.
Matokeo ya 12 yanayohusiana na Fahrettin Altun. yanaonyeshwa
Türkiye
Uturuki yailaani Israel kwa shambulio lenye kulenga wanahabari
Israel inapigana vita dhidi ya ukweli kwa "kukusudia, kulenga" waandishi wa habari, anasema Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Uturuki Altun kufuatia shambulizi la kifaru lililojeruhi wanahabari kadhaa wakiwemo wale wa kituo cha TRT Arabi.Türkiye
Mawasiliano ya maafa hayawezi kuchukuliwa kuwa mapendeleo: Waziri wa Uturuki Altun
"Mikakati yetu ya mawasiliano ya maafa imekuwa mojawapo ya zana za kimkakati tulizo nazo kwa ajili ya kujitayarisha kwa maafa, kukabiliana na dharura, ukarabati na juhudi za kuponya," anasema mkurugenzi wa mawasiliano wa Uturuki.Türkiye
Uturuki yaipiga PKK nchini Iraq na Syria huku Erdogan akitarajiwa kuongoza mkutano wa usalama
Ankara imeharibu maeneo 29 ya magaidi wa kundi la PKK kaskazini mwa Iraq na Syria wakati wa operesheni za anga, imesema Wizara ya Ulinzi, kabla ya mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje, ya ndani, wa ulinzi, mkuu wa majeshi na idara ya kijasusiTürkiye
Erdogan akashifu watetezi wa uhuru wa kujieleza kwa ukimya juu ya vifo vya waandishi wa habari wa Gaza
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekosoa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kudharau "mauaji ya kila siku" ya waandishi wa habari huko Gaza huku akiielezea Israel kushindwa katika vita vinavyoendelea katika eneo la Palestina linalozingirwa.
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu