| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania
Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu.
Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania
Huduma za intaneti na mawasiliano mengine uliathirika nchini Tanzania, siku ya Oktoba 29, 2025./Picha:Wengine
3 Novemba 2025

Baada ya siku kadhaa za kukosekana kwa mitandao nchini Tanzania, huduma hizo zimerejea saa chache baada ya kuapishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Jumatatu ya Novemba 3, 2025.

Huduma hizo zilizitishwa kufuatia kuibuka kwa vurugu na maandamano yaliyozuka sehemu mbali mbali za nchi hiyo wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29.

Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa, huku mali na miundombinu ikiharibiwa wakati wa vurugu wa za baada ya uchaguzi huo.

Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humo.

Samia alipata asilimia 98 ya kura katika uchaguzi huo, kulingana na Tume Huru ya Uchaguzi nchini Tanzania INEC.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Afrika Kusini yaomba utulivu kufuatia maandamano dhidi ya kusimikwa kwa 'Igwe' wa Nigeria
Rwanda ‘yahofia’ operesheni za DRC dhidi ya kikundi cha FDLR
Kenya yalipa ada ya Dola milioni 30 ya uenyeji wa AFCON 2027
Hasara ya mamilioni kufuatia ubomoaji katika soko kubwa zaidi la wazi la Gikomba Nairobi
Shabiki maarufu ‘Lumumba Vea’ akosa viza ya  kwenda kuishangilia DRC dhidi ya Jamaica
Mamlaka ya uchukuzi Kenya yazindua ukaguzi wa lazima wa afya kwa madereva ili kupunguza ajali
Tanzania yahimiza matumizi ya AI kuimarisha mtangamano na maendeleo EAC
Kundi lenye silaha limewaua watu wasiopungua 20 Jimbo la Plateau nchini Nigeria
Wafungwa wasiopungua 11 wafariki kutokana na mlipuko wa kipindupindu katika jela DRC
Kagame awaamuru maafisa waandamizi wa serikali 'kusimama' wakati wa hotuba yake
Wadukuzi wadukua maombi ya kazi 450,000 nchini Afrika Kusini
Rais wa Misri asema ni Trump pekee anaweza kusimamisha vita, aonya kupanda zaidi kwa bei ya mafuta
Togo yatoa uzoefu wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele
Watu 15 wamefariki katika ajali ya barabarani mkoa wa kati Kenya
Mahakama kuu ya Jamhuri ya Congo imethibitisha ushindi wa Sassou Nguesso kwa awamu ya tano
Rwanda, Burundi wanagombana juu ya juhudi za rais wa zamani wa Senegal Sall kuongoza UN
Vifo kutokana na mafuriko nchini Kenya vyaongezeka hadi 108, polisi wasema
Majenerali wakuu wa Uganda wazuiliwa kwa madai ya ufisadi: ripoti
Eswatini yamrudisha nyumbani mwananchi wa Cambodia aliyefukuzwa kutoka Marekani
Waasi waanza kuondoka katika vijiji vya DRC ili kuhimiza amani