| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 07 Januari 2026
00:00
00:0000:00
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 07 Januari 2026
Umoja wa Afrika waitaka Israel kubatilisha utambuzi wa Somaliland na umati wa watu waandamana nchini Venezuela baada ya kutekwa kwa Rais Maduro na Marekani.
7 Januari 2026

Vichwa vya habari:

  • Umoja wa Afrika waitaka Israel kubatilisha utambuzi wa Somaliland

  • Umati wa waandamanaji Venezuela wataka kuachiwa mara moja kwa Rais Maduro

  • Umoja wa Ulaya kutomtambua rais wa mpito wa Venezuela

  • Kila kitu kinawezakana kuhusu kuchukuliwa kwa eneo la Greenland: Afisa wa Marekani

  • Ufaransa, Uingereza na Ukraine zaweka mipango ya kikosi cha kimataifa

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika | 08 Januari
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Upweke