OPINION
Iran yaonya Korea Kusini dhidi ya kutuma vikosi vya kijeshi katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Iran imesema ushiriki wowote wa kijeshi wa Korea Kusini katika juhudi za kuhakikisha usalama wa usafiri wa meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz utakuwa na madhara makubwa.




