OPINION
Rais wa China asema hatoipatia Iran silaha: Trump
“Alisema hatatoa vifaa vya kijeshi. Hio ni kauli muhimu sana", Rais Trump wa Marekani amesema baada ya kukutana na Rais Xi wa China, akiongeza kuwa China inataka kuona Mlango-Bahari wa Hormuz ukifunguliwa.

