| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 11 Disemba
00:00
00:0000:00
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 11 Disemba
Mbunge wa Jimbo la Peramiho nchini Tanzania, Jenista Mhagama amefariki dunia na zaidi ya watu 1000 wameykimbia makazi yao Kordofan nchini Sudan, huku vita vikali vikiendelea.
11 Desemba 2025

Vichwa vya habari:

  • Mbunge wa Jimbo la Peramiho nchini Tanzania, Jenista Mhagama amefariki dunia

  • Zaidi ya watu 1000 wameykimbia makazi yao Kordofanm Sudan, huku vita vikali vikiendelea

  • Trump atarajia viongozi wa dunia kujiunga na Bodi ya Amani ya Gaza hivi karibuni

  • Israel imeidhinisha takriban makazi 800 mapya haramu katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa

  • Urusi itajibu hatua ya kupelekwa kwa wanajeshi wa Ulaya nchini Ukraine: Lavrov

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 10 Disemba 2025
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Upweke