| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 09 Februari
00:00
00:0000:00
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 09 Februari
Mwenyekiti wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu, amefikishwa tena mahakamani leo na Trump asema Xi atatembelea Marekani huku nchi hizo mbili zikilenga kurekebisha uhusiano wao.
9 Februari 2026

Vichwa vya habari:

  • Tundu Lissu amerudishwa tena mahakamani

  • Trump: Rais wa China Xi Jinping atatembelea Marekani

  • Mbunge wa Iran akosoa uwepo wa Mkuu wa Kamandi la Jeshi la Marekani katika mazungumzo ya nyuklia

  • Meya wa New York Mamdani asaini amri ya kuzuia ‘ICE’ kuingia New York bila kibali cha mahakama

  • Wanariadha wa Israel wazomewa katika ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki nchini Italia

Sikiliza zaidi
Dondoo TRT Afrika Swahili |05 Februari, 2026
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Urithi wa Kiandalusia Umeishaje?