| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Umoja wa Afrika waitaka Israel kubatilisha utambuzi wa Somaliland
Baraza la Masuala ya Kisiasa, Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) lilitoa wito Jumanne kwa Israel kubatilisha mara moja utambuzi wa Somaliland.
Umoja wa Afrika waitaka Israel kubatilisha utambuzi wa Somaliland
Umoja wa Afrika (AU) umeilaani Israel kwa kuitambua Somaliland kama taifa huru. / / Reuters
7 Januari 2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Gideon Sa’ar, alitembelea Somaliland siku ya Jumanne katika ziara iliyoplaaniwa vikali na Somalia, siku 10 baada ya Israel kuitambua rasmi eneo hilo lililojitangaza kuwa taifa huru.

“Baraza la (AU) linalaani vikali, hatua ya upande mmoja ya Israel ya kuitambua eneo lililojitangaza kama ‘Jamhuri ya Somaliland’,” baraza hilo ilisema hilo kupitia mtandao wa X baada ya kikao cha mawaziri.

Soma zaidi
Mshambuliaji wa Algeria awaomba radhi mashabiki wa DRC
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa
Kwa nini Afrika inatakiwa kuwa na wasiwasi kuhusu uvamizi wa Trump Venezuela
Trump aongeza Uganda, na mataifa mengine 11 ya Afrika kwenye orodha ya dhamana ya viza ya Marekani
Jeshi la Benin lawaua 'magaidi' 45 kaskazini mwa nchi
Nchi za Afrika zaunga mkono Venezuela baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyomlenga Maduro
Somalia yashtumu ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Israel Somaliland, ikiitaja kama ‘uvamizi’
Mahakama ya Tunisia yawaachilia huru wafanyakazi wa NGO waliokamatwa kwa kuwasaidia wahamiaji
Baraza la Makanisa nchini Kenya lajitenga na mhubiri anayedai miujiza 'Nabii Owour'
Misri imepokea watalii milioni 19 mwaka 2025: Waziri
Rais Touadera achaguliwa tena kuwa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Washukiwa wa ugaidi washambulia mgodi wa dhahabu, wawateka wafanyakazi nchini Mali
Vita vya Sahel na changamoto za makundi ya kigaidi
Tanzania yapiga marufuku wageni kutoa baadhi ya huduma katika sekta ya madini, kulinda wazawa
Mahakama Kuu ya Guinea yamthibitisha Doumbouya mshindi wa uchaguzi
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la droni la RSF kwenye bwawa kuu na maeneo ya kijeshi
Rais William Ruto apendekeza adhabu ya kifo kwa wauzaji wa dawa za kulevya
Nigeria yaagiza msako mkali baada ya watu wenye silaha kufanya mauaji katika jimbo la Niger
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025