| swahili
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 28 Oktoba 2025
02:43
02:43
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 28 Oktoba 2025
Kiongozi wa Sudan Abdel Fattah al Burhan asema jeshi limeondoka katika mji wa Al Fasher, NA wafanyakazi wa umma Zanzibar wanaendelea kupiga kura ya mapema kabla ya upigaji kura kwa watu wote siku ya Jumatano Oktoba 29.
28 Oktoba 2025
  • Kiongozi wa Sudan Abdel Fattah al Burhan anasema jeshi limeondoka Al Fasher

  • Watumishi wa umma visiwani Zanzibar wapiga kura ya mapema

  • Rais wa Cote’d Ivoire Alassane Ouattara ashinda muhula wa nne kwa 89.77%

  • Jeshi la Somalia lamuua kiongozi mwandamizi wa kundi la al-Shabaab

  • Timu ya Kenya, Nairobi United, yafuzu hatua ya makundi kwa kuifunga Etoile du Sahel ya  Tunisia

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 29 Oktoba 2025
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Upweke