tokea masaa 3
Vichwa vya habari:
Gabon yapiga marufuku mitandao ya kijamii
Iran haijakubali “masharti” yote yaliowekwa na Trump
Israel yatangaza kunyakua ardhi mpya ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa
Ukraine na Urusi kuendelea na mazungumzo ya amani na Marekani mjini Geneva
Canada yazindua mpango mpya wa ulinzi ili kupunguza kutegemea Marekani