| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 05 Januari 2026
00:00
00:0000:00
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 05 Januari 2026
Trump atishia kusihambulia tena Venezuela, aonya kuhusu operesheni nchini Colombia na Erdogan amwambia Mwanamfalme wa Saudi Arabia utulivu wa Yemen na Somalia ni muhimu.
5 Januari 2026

Vichwa vya habari:

  • Trump atishia kuishambulia tena Venezuela, aonya kuhusu operesheni nyingine Colombia

  • Maduro wa Venezuela anatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya New York Jumatatu

  • Idadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya Marekani nchini Venezuela mpaka sasa ni 80 - ripoti

  • Israel yaishambulia Lebanon, na kuuwa watu wawili licha ya kuwa na makubaliano ya kusitisha vita

  • Erdogan amwambia Mwanamfalme wa Saudi Arabia utulivu wa Yemen na Somalia ni muhimu

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika | 07 Januari 2026
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Upweke