15 Januari 2026
Vichwa vya habari:
Raia wa Uganda wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu
Senegal kukabiliana na Morocco fainali AFCON 2025
Burkina Faso yamfuta kazi kocha baada ya kutolewa AFCON
Magaidi waua watu 14 kaskazini magharibi mwa Cameroon
Anga ya Iran yafunguliwa tena baada ya kufungwa kwa muda