| swahili
02:53
Ulimwengu
Utajiri wa Afrika: Sokwe mtu waongezeka
Idadi ya sokwe mtu inaendelea kuongezeka barani Afrika. Chini ya miongo mitatu iliyopita kumekuwa na idadi ya sokwe mtu wa milimani 680, lakini sasa habari njema ni kuwa, idadi hiyo imeongezekahadi kufika zaidi ya 1000. Wanapatikana Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda.
10 Juni 2024
Tazama Video zaidi
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK
Mali yapokea vifaa vya kijeshi kutoka Uturuki kwa ajili ya kupambana na ugaid
Morara Kebaso, wakili mwanaharakati nchini Kenya, anavyotumia mitandao ya kijamii kuikosoa serikali
Ushirikiano wa Uturuki na nchi za Kiafrika
Jumba la makumbusho ya Maradona
Je, unaijua ndoto ya 'Israeli Kubwa'?
Vimbunga, dhoruba za kitropiki na taifuni ni nini?
Malkia wa Taarab Khadija Kopa ni nani?
P Diddy na Masaibu Yake