| Swahili
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
02:20
Afrika
Wanafunzi wasichana wapata mafunzo ya teknolojia nchini Kenya
Nchini Kenya, wanafunzi wa kike kutoka maeneo ya vijijini wanajifunza masuala ya kidijitali wakiwa karibu na nyumbani.
11 Agosti 2025

Mara nyingi wanatoka katika jamii ambazo ni vigumu kuhudhuria shule na kukamilisha masomo yao.
Lakini baadhi ya makundi ya misaada yamekuja kutoa msaada. Taarifa ya Victoria Amunga imesomwa na Hamisi Iddi.

Tazama Video zaidi
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK