AFRIKA
1 DK KUSOMA
Somalia yatekeleza hukumu ya kifo kwa magaidi wa Al-Shabaab
Hukumu hiyo ilitekelezwa kufuatia kesi ya magaidi hao katika mahakama ya kijeshi ambapo walikutwa na hatia ya kufanya shambulio mjini Mogadishu.
Somalia yatekeleza hukumu ya kifo kwa magaidi wa Al-Shabaab
Somalia Al shabaab / Others