|
swahili
|
swahili
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Yusuf Dayo
Producer
Producer
Makala za Mwandishi
Hukumu ya kifo ya Jospeh Kabila inavyotikisa diplomasia na siasa ndani na nje ya DRC
Waangalizi wengi wa kimataifa na DRC wanasema kesi hiyo ilikuwa na muelekeo wa wazi wa kisiasa hivyo kuibua maswali kuhusu utaratibu unaostahili na utekelezwaji wa vyombo vya mahakama.
4 dk kusoma
Panda shuka ya Luhaga Mpina ndani ya siasa za Tanzania
Mwanasiasa huyo alijizoelea umaarufu kama mmoja wa makada wa CCM majasiri wanaposimama kutoa hoja zao.
3 dk kusoma
Kuna ulazima wowote kwa bibi harusi kuvaa shela jeupe?
Shela nyeupe ilianza kama ishara ya mtindo wa kifalme na likawa alama ya kitamaduni ya usafi na tabia njema. Hata hivyo, mambo yamebadilika.
4 dk kusoma
Katiba imesaidia vipi kuimarisha demokrasia nchini Kenya?
Kenya leo inaadhimisha miaka 15 tangu katiba mpya kuanzia kufanya kazi nchini humo. Licha ya haki ya kikatiba ya kujieleza, waandamanaji wa Gen Z nchini humo wamejikuta matatani na vyombo vya usalama waliotumia nguvu kupita kiasi.
5 dk kusoma
Mitindo ya ususi na historia ya ukombozi dhidi ya utumwa
Kulingana na wanahistoria, wakati mwingine, mistari ya misuko kichwani, iliashiria njia za siri za kukwepa mashamba ya wakoloni na wazungu waliomiliki watumwa.
3 dk kusoma
Tamasha la kitamaduni la wanafunzi Kenya laanza kwa bashasha
Hii ni awamau ya 63 ya tamasha hilo linalohusisha wanafunzi kuanzia shule za chekechea hadi vyuo vikuu, ambapo mwaka huu kauli mbiu yake ni kutumia 'Teknolojia Kukuza Talanta'
2 dk kusoma
Tanzania 'yajenga imani' na waganga wa tiba za asili kupambana na magonjwa ya milipuko
Katika nchi nyingi za Afrika, waganga wa kienyeji wanabaki kuwa kimbilio la kwanza kwa wagonjwa hasa wa maeneo ya vijijini, ambako hospitali ziko mbali.
3 dk kusoma
Abel Kai: Kigugumizi si ulemavu kwangu
Kinyume na dhana potofu za kawaida, kigugumizi hakihusiani na akili au woga. Mara nyingi huanza katika utoto na, kwa wengine, huendelea kuwa watu wazima.
4 dk kusoma
Dondoo za TRT Afrika | 05 Machi
Viongozi wa Kiarabu wanakataa mpango wa Trump wa Gaza, wanatoa mbadala; na Marekani inaorodhesha majengo ya Idara ya Haki na FBI kwa ajili ya kuuza.
0 dk kusoma
03:09
03:09
Dondoo za TRT Afrika
Janga la kibinadamu huko Gaza linazidi kuwa mbaya, huku bei ya vyakula ikipanda kufuatia na kufungwa mpaka na Israeli, Rais Erdogan wa Uturuki atoa wito wa kuwepo kwa kura ya turufu ya Kiislamu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
0 dk kusoma
03:16
03:16