| Swahili
Masaibu Ya Wachuuzi Nairobi
03:14
Ulimwengu
Masaibu Ya Wachuuzi Nairobi
Wachuuzi Kenya wana nafasi muhimu ya kuendesha uchumi hasa kwa Biashara za rejareja. Lakini wakati mwingine wamelaumiwa kuwa kero hasa wanapo sababisha foleni barabarani au kusababisha uchafuzi. Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ameagiza kuwa wachuuzi waondolewe katikati mwa jiji hasa katika barabara kuu. Lakini imekuwa kizungumkuti namna ya kuwaondoa.
21 Novemba 2023
Tazama Video zaidi
Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo