| Swahili
AFRIKA
1 DK KUSOMA
Ufaransa yaondoka kutoka kambi yake ya kwanza ya kijeshi nchini Chad
Wanajeshi wa Ufaransa wameanza kuondoka nchini Chad baada ya serikali ya Chad kuwataka kuondoka nchini humo.
Ufaransa yaondoka kutoka kambi yake ya kwanza ya kijeshi nchini Chad
Wanajeshi zaidi wa Ufaransa wanatarajiwa kuondoka Chad katika siku zijazo. / Picha: AFP / Others
26 Desemba 2024