| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jamhuri ya Afrika ya Kati na Urusi wana uhusiano mzuri. / Reuters
7 Januari 2026

Rais mpya aliyechaguliwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.

Urusi imekuwa mshirika wa Touadera katika miaka ya hivi karibuni, huku 2018 CAR ikiwa nchi ya kwanza ya Afrika Magharibi na Kati kuwaleta mamluki wa Urusi Wagner kwa lengo la kukabiliana na makundi kadhaa ya waasi.

Touadera, aambaye amekuwa madarakani tangu 2016, alishinda muhula wa tatu, matokeo ya awali yalionesha wiki hii, na kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa urais uliofanyika Disemba 28.

Katika mahojiano kwa njia ya video na TASS, Touadera alisema Putin "alikuwa makini" kwa uhusiano na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Maslahi ya Urusi

Akizungumzia matokeo ya awali ya uchaguzi yaliyomuonesha Touadera anaongoza, kundi la Wagner liliandika kwenye mtandao wa Telegram: "Hatuna shaka njia iliyochaguliwa ya kuhakikisha utulivu na amani itakuwa sawa."

Ushindi wa Touadera unatarajiwa kuendeleza sera ya maslahi ya Urusi katika taifa hilo, ikiwemo uchimbaji wa madini ya dhahabu na almasi.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Mshambuliaji wa Algeria awaomba radhi mashabiki wa DRC
Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa
Kwa nini Afrika inatakiwa kuwa na wasiwasi kuhusu uvamizi wa Trump Venezuela
Trump aongeza Uganda, na mataifa mengine 11 ya Afrika kwenye orodha ya dhamana ya viza ya Marekani
Umoja wa Afrika waitaka Israel kubatilisha utambuzi wa Somaliland
Jeshi la Benin lawaua 'magaidi' 45 kaskazini mwa nchi
Nchi za Afrika zaunga mkono Venezuela baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyomlenga Maduro
Somalia yashtumu ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Israel Somaliland, ikiitaja kama ‘uvamizi’
Mahakama ya Tunisia yawaachilia huru wafanyakazi wa NGO waliokamatwa kwa kuwasaidia wahamiaji
Baraza la Makanisa nchini Kenya lajitenga na mhubiri anayedai miujiza 'Nabii Owour'
Misri imepokea watalii milioni 19 mwaka 2025: Waziri
Rais Touadera achaguliwa tena kuwa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Washukiwa wa ugaidi washambulia mgodi wa dhahabu, wawateka wafanyakazi nchini Mali
Vita vya Sahel na changamoto za makundi ya kigaidi
Tanzania yapiga marufuku wageni kutoa baadhi ya huduma katika sekta ya madini, kulinda wazawa
Mahakama Kuu ya Guinea yamthibitisha Doumbouya mshindi wa uchaguzi
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la droni la RSF kwenye bwawa kuu na maeneo ya kijeshi
Rais William Ruto apendekeza adhabu ya kifo kwa wauzaji wa dawa za kulevya
Nigeria yaagiza msako mkali baada ya watu wenye silaha kufanya mauaji katika jimbo la Niger
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025