SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Coletta Wanjohi
Journalist
Journalist
Makala za Mwandishi
Hiragasy, sanaa inayorithishwa vizazi nchini Madagascar
Hiragasy ni maonyesho yanayojumuisha nyimbo, ngoma na hotuba.
2 dk kusoma
Rwanda kuhesabu ndege aina ya korongo wa majivu
Mwaka wa 2024, Rwanda ilikuwa na jumla ya korongo wa kijivu 1,293.
2 dk kusoma
Utajiri wa Afrika: Korongo wa Kijivu
Uganda imeongeza ulinzi kwa ndege huyu ambaye ndiye ndege wake wa taifa na hata kupitisha sheria za kumlinda.
3 dk kusoma
Ahadi za Marais kwa timu zao katika CHAN 2024
Michuano ya CHAN 2024 inafanyika kenya Uganda na tanzania na Marais wa nchi hizo wametoa ahadi ya mamilioni ya pesa kwa timu zao.
3 dk kusoma
Utajiri wa Afrika: Watu wa kabila la Banna nchini Ethiopia wanaotembea kwa miti
Kutembea kwa miti mirefu katika jamii ya Banna ndio utambulisho wa kitamaduni ukiashiria vijana kutoka katika rika moja hadi jengine.
2 dk kusoma
Kwa nini ukosefu wa ajira bado ni 'pasua kichwa' kwa serikali ya Kenya
Vijana sita kati ya kumi nchini Kenya wamekosa ajira, jambo linalowapelekea kupaza sauti zao dhidi ya uongozi wa Rais William Ruto, kama inavyojidhihirisha kupitia maandamano na machapisho mitandaoni.
6 dk kusoma
Attieke, chakula cha mihogo Cote d'Ivoire
Mwaka 2024, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi, na Utamaduni, UNESCO, liliitambua na kuiorodhesha attieke kama urithi wa kitamaduni kutokana na heshima yake na ustadi unaotumika katika kuiandaa.
2 dk kusoma
Marekani kuondoka UNESCO
Kwa mujibu wa serikali ya Rais Donald Trump hatua hiyo inafuatia uamuzi wa UNESCO wa kukubali Palestina kama nchi mwanachama ni kinyume na sera ya Marekani.
3 dk kusoma
Utajiri wa Afrika: Hifadhi ya Maasai Mara, fahari ya Kenya
Julai 2025, hifadhi hiyo imejumuishwa rasmi katika Kitabu cha Rekodi za Dunia, Uingereza, yaani World Book of Records Limited, kama tovuti ya "Uhamiaji Mkubwa Zaidi wa Kila Mwaka wa Wanyamapori Duniani."
3 dk kusoma
Utajiri wa Afrika: Mafuta ya Sudan Kusini
Baada ya kupata uhuru mwaka Julai 2011 kutoka Sudan, Sudan Kusini ilirithi takriban asilimia 75 ya uzalishaji wa mapipa ya mfuta 470,000 kwa siku ambayo ilikuwa ikifanyika Sudan kwa jumla.
2 dk kusoma