|
Swahili
|
Swahili
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Edward Josaphat Qorro
Senior Editor
Senior Editor
Makala za Mwandishi
Hii ndiyo historia ya upigaji ‘Panenka’
Baadhi ya wachezaji maarufu waliowahi kufunga kwa mtindo huu ni pamoja na Andrea Pirlo, Zinedine Zidane, Alexis Sanchez, Sebastian Abreu na Francesco Totti.
2 dk kusoma
Tanzania yapanda juu nafasi mbili viwango vya ubora wa soka vya FIFA
Kulingana na orodha hiyo ya ubora ya FIFA, Tanzania imevuna jumla ya alama 1186.14 kutoka alama 1181.22, ilizokuwa nazo awali.
1 dk kusoma
Tanzania kuvunja mwiko wa Nigeria?
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania, maarufu kama ‘Taifa Stars’ inashuka dimbani Disemba 23, 2025 kumenyana na ‘Super Eagles’ ya Nigeria kwenye michuano ya AFCON 2025, ikiwa na rekodi mbaya dhidi ya mabingwa hao wa mara tatu wa kombe hilo.
2 dk kusoma
Wafahamu baadhi ya ndugu na mapacha waliowahi kucheza pamoja michuano ya AFCON
Imekuwa ni jambo la kawaida kushuhudia mapacha na ndugu wa familia moja, kuchezea mataifa yao kwa pamoja, wakati wa michuano ya kuwania Kombe la Mataifa ya Afrika, maarufu kama AFCON.
2 dk kusoma
AFCON 2025: Tanzania kutupa karata yake ya nne
Mara ya kwanza kwa Tanzania kushiriki michuano ya AFCON ilikuwa ni mwaka 1980 nchini Nigeria, enzi za akina Jela Mtagwa, Leodgar Tenga, Peter Tino na wengine.
2 dk kusoma
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) waahirishwa
Kanuni ya 11 ya uendeshaji wa shughuli za EAC, unataka akidi za nchi zote wanachama zitimie, ili Mkutano wa Wakuu wa EAC ufanyike.
1 dk kusoma
Simba Sports Club ya Tanzania 'yamtimua' Dimitar Pantev
Pantev alichukua mikoba ya kuwafundisha ‘Wekundu wa Msimbazi’ mwezi Oktoba 2025, akitokea Gaborone United ya Botswana.
1 dk kusoma
Clement Mzize: Mtanzania wa kwanza kutwaa kiatu cha dhahabu CAF
Novemba 19, 2025, mshambuliaji wa Young Africans Sports ya nchini Tanzania, Clement Mzize alitunukiwa tuzo ya Goli Bora la 2025 tuzo iliyotolewa na shirikisho la Michezo barani Afrika CAF.
2 dk kusoma
Vurugu za baada ya uchaguzi zashuhudiwa Tanzania
Baadhi ya maeneo ya nchi hiyo yameshuhudia vurugu baada ya uchaguzi, huku Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) ikiendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.
2 dk kusoma
Watanzania kumjua Rais wao mpya ndani ya saa 72
Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.
1 dk kusoma
1x
00:00
00:00