|
Swahili
|
Swahili
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Edward Josaphat Qorro
Senior Editor
Senior Editor
Makala za Mwandishi
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) waahirishwa
Kanuni ya 11 ya uendeshaji wa shughuli za EAC, unataka akidi za nchi zote wanachama zitimie, ili Mkutano wa Wakuu wa EAC ufanyike.
1 dk kusoma
Simba Sports Club ya Tanzania 'yamtimua' Dimitar Pantev
Pantev alichukua mikoba ya kuwafundisha ‘Wekundu wa Msimbazi’ mwezi Oktoba 2025, akitokea Gaborone United ya Botswana.
1 dk kusoma
Clement Mzize: Mtanzania wa kwanza kutwaa kiatu cha dhahabu CAF
Novemba 19, 2025, mshambuliaji wa Young Africans Sports ya nchini Tanzania, Clement Mzize alitunukiwa tuzo ya Goli Bora la 2025 tuzo iliyotolewa na shirikisho la Michezo barani Afrika CAF.
2 dk kusoma
Vurugu za baada ya uchaguzi zashuhudiwa Tanzania
Baadhi ya maeneo ya nchi hiyo yameshuhudia vurugu baada ya uchaguzi, huku Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) ikiendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.
2 dk kusoma
Watanzania kumjua Rais wao mpya ndani ya saa 72
Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.
1 dk kusoma
Watanzania wafanya maamuzi kupitia sanduku la kura
Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania hufanyika kila baada ya miaka mitano kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano, Wabunge na Madiwani kwa upande wa Tanzania Bara. Zanzibar watakuwa na nyongeza ya kuchagua Rais wa visiwa hivyo na Wawakilishi.
2 dk kusoma
Waislamu Tanzania waombea amani Uchaguzi Mkuu
Tanzania itafanya Uchaguzi wake Mkuu Oktoba 29, 2025 ambapo wapiga kura 37, 655,559 wamejiandikisha kupiga kura katika majimbo 272.
1 dk kusoma
Raila Odinga na simulizi ya kutumia pasipoti ya Tanganyika kuingia Ujerumani
Pasipoti hiyo ya muda ilitolewa kwa Raila na vijana wengine wawili, kabla ya Tanganyika kuungana na Zanzibar mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania.
3 dk kusoma
Lazarus Chakwera, ‘Baba Mchungaji’ wa Malawi aliyekubali kushindwa uchaguzi
Alijipenyenza kwenye siasa akiwa kama kiongozi wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), ambacho kilihusika na kuuangusha utawala wa Kiingereza mwanzoni mwa miaka ya 60.
2 dk kusoma
Tanzania yashuka viwango vya ubora vya FIFA, Uganda yapanda
Kulingana na orodha hiyo iliyotolewa Septemba 18, 2025, Hispania imechupa hadi nafasi ya kwanza ikitokea ya pili, huku Argentina ikiporomoka hadi nafasi ya tatu kutokea ya pili.
1 dk kusoma
1x
00:00
00:00