|
swahili
|
swahili
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Edward Josaphat Qorro
Senior Editor
Senior Editor
Makala za Mwandishi
Vurugu za baada ya uchaguzi zashuhudiwa Tanzania
Baadhi ya maeneo ya nchi hiyo yameshuhudia vurugu baada ya uchaguzi, huku Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) ikiendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.
2 dk kusoma
Watanzania kumjua Rais wao mpya ndani ya saa 72
Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.
1 dk kusoma
Watanzania wafanya maamuzi kupitia sanduku la kura
Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania hufanyika kila baada ya miaka mitano kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano, Wabunge na Madiwani kwa upande wa Tanzania Bara. Zanzibar watakuwa na nyongeza ya kuchagua Rais wa visiwa hivyo na Wawakilishi.
2 dk kusoma
Waislamu Tanzania waombea amani Uchaguzi Mkuu
Tanzania itafanya Uchaguzi wake Mkuu Oktoba 29, 2025 ambapo wapiga kura 37, 655,559 wamejiandikisha kupiga kura katika majimbo 272.
1 dk kusoma
Raila Odinga na simulizi ya kutumia pasipoti ya Tanganyika kuingia Ujerumani
Pasipoti hiyo ya muda ilitolewa kwa Raila na vijana wengine wawili, kabla ya Tanganyika kuungana na Zanzibar mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania.
3 dk kusoma
Lazarus Chakwera, ‘Baba Mchungaji’ wa Malawi aliyekubali kushindwa uchaguzi
Alijipenyenza kwenye siasa akiwa kama kiongozi wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), ambacho kilihusika na kuuangusha utawala wa Kiingereza mwanzoni mwa miaka ya 60.
2 dk kusoma
Tanzania yashuka viwango vya ubora vya FIFA, Uganda yapanda
Kulingana na orodha hiyo iliyotolewa Septemba 18, 2025, Hispania imechupa hadi nafasi ya kwanza ikitokea ya pili, huku Argentina ikiporomoka hadi nafasi ya tatu kutokea ya pili.
1 dk kusoma
Salum Mwalimu kutoa ushindani kwa Samia?
Katika kampeni zake, Salum Mwalim ameweka mkazo kwenye sekta ya kilimo, akiahidi kuiongezea nguvu kwa nia ya kuongeza uzalishaji wa chakula na kuwezesha kuwa na uhakika wa chakula na mazao ya biashara.
2 dk kusoma
Kocha McCarthy kubeba matumaini ya ‘Harambee Stars’?
Wingi wa mashabiki wanaojaza uwanja wa Moi Kasarani, ni ushahidi tosha wa imani kubwa waliyonayo kwa McCarthy na kikosi chake.
2 dk kusoma
Ijue tofauti ya michuano ya CHAN na ile ya AFCON
Michuano ya CHAN 2024, inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.
2 dk kusoma