Topic - Small Live Coverage
Opinion
Albania Yateua Akili Bandia "Diella" kuwa Waziri wa Kwanza wa Serikali ya kidijitali
Hatua hiyo, iliyotangazwa mnamo Septemba 2025, ni mara ya kwanza kwa nchi yoyote kuweka rasmi majukumu ya mawaziri kwa mfumo wa Akili Bandia kama nji aya kukabiliana na ufisadi


