Topic - Small Live Coverage
Opinion
Sanaa za maonesho zinavyosaidia wakimbizi wa Burundi kurejea makwao
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitoa hifadhi kwa zaidi ya wakimbizi zaidi ya 110,000 kutoka Burundi, ambao wanaishi kati kambi za Nyarugusu na Nduta zinazopatikana katika mkoa wa Kigoma.





