| Swahili
UCHAGUZI WA TANZANIA 2025
Tanzania huenda ikakabiliwa na changamoto kupata mikopo kutoka nje, amesema Rais Samia
Tanzania huenda ikakabiliwa na changamoto kupata mikopo kutoka nje, amesema Rais Samia
Uwezo wa Tanzania kupata mikopo kutoka taasisi za kimataifa huenda ukakumbana na changamoto baada ya sifa yake kuharibika kimataifa, amesema Rais Samia Suluhu Hassan siku ya Jumanne wakati wa kuwaapisha mawaziri.