| Swahili
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
03:11
Afrika
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Michuano ya AFCON 2025 inaendelea na pia mapambano ya kibiashara yanashika kasi
26 Desemba 2025

Jezi zikinig'inia kwenye henga, mashabiki wakishangilia timu zao, pesa zinaingia mfukoni haraka.

Hapa mwanahabari wa TRT Afrika Hamisi Iddi Hamisi anaingia mitaani kuona jinsi joto la AFCON lilivyobadilisha shauku ya mpira wa miguu kuwa biashara halisi.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi