| Swahili
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
00:58
Michezo
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
Mashabiki wa soka kutoka Tanzania wanaohudhuria AFCON 2025 nchini Morocco, wamejinasibu kuwa Taifa Stars itarejea na kombe
23 Desemba 2025

Mashabiki wa soka kutoka Tanzania wanaohudhuria michuano ya AFCON 2025 inayoendelea nchini Morocco, wamejinasibu kuwa timu yao ya taifa, maarufu kama ‘Taifa Stars’ itarejea na kombe, huku ikitupa karata yake ya kwanza dhidi ya Nigeria, Disemba 23, 2025.Mchezo huo utaanza saa mbili na nusu usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi