| Swahili
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
00:58
Michezo
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
Mashabiki wa soka kutoka Tanzania wanaohudhuria AFCON 2025 nchini Morocco, wamejinasibu kuwa Taifa Stars itarejea na kombe
23 Desemba 2025

Mashabiki wa soka kutoka Tanzania wanaohudhuria michuano ya AFCON 2025 inayoendelea nchini Morocco, wamejinasibu kuwa timu yao ya taifa, maarufu kama ‘Taifa Stars’ itarejea na kombe, huku ikitupa karata yake ya kwanza dhidi ya Nigeria, Disemba 23, 2025.Mchezo huo utaanza saa mbili na nusu usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Tazama Video zaidi
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura