| Swahili
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
02:18
Afrika
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Baada ya AFCON ya Morocco wanaopokea kijiti ni Afrika Mashariki ambao ndio watakuwa wenyeji wa AFCON 2027. Nchi hizo ni Kenya, Tanzania na Uganda.
6 Januari 2026

Morocco ambao pia ni wenyeji wenza wa Kombe la Dunia 2030 wametumia mashindano ya AFCON kama sehemu ya maandalizi mazuri kuelekea huko.

Nchi hii inatumia viwanja 9 kwenye michezo ya mwaka huu, baadhi yao ikiwa vimekarabatiwa na kuongezwa idadi ya mashabiki katika miji mbalimbali.

Tazama Video zaidi
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar