6 Januari 2026
Morocco ambao pia ni wenyeji wenza wa Kombe la Dunia 2030 wametumia mashindano ya AFCON kama sehemu ya maandalizi mazuri kuelekea huko.
Nchi hii inatumia viwanja 9 kwenye michezo ya mwaka huu, baadhi yao ikiwa vimekarabatiwa na kuongezwa idadi ya mashabiki katika miji mbalimbali.

