03:21
Afrika
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Mpina haraka alijizolea sifa ya kuwa mmoja wa wabunge wa CCM wenye sauti kubwa na wasio na woga, bila kukwepa kupinga maamuzi ya serikali au kudai uwazi.
9 Septemba 2025

Mpaka sasa chama cha upinzania nchini Tanzania ACT Wazalendo hakijajua hatma ya mgombea wake wa urais Luhaga Mpina iwapo mahakama itamuidhinisha kuendelea kupeperusha bendera ya chama hicho.

Hii ni baada ya uteuzi wake kuingia dosari pale Monalisa Joseph Ndala, ofisa wa ACT-Wazalendo, alipowasilisha malalamiko akidai Mpina alikiuka kanuni za chama—hasa kwa kujiunga na chama akiwa amechelewa kwa hiyo hastahili uteuzi wa kugombea Urais.

Hata hivyo, jina lake la mwanasiasa huyo tayari limeingia katika historia ya siasa za Tanzania.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo