02:17
Afrika
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mwanasheria mkuu wa Uganda anasisitiza kuwa nchi hiyo imejitolea kwa makubaliano na Marekani kupokea watu waliofukuzwa kutoka nchi hiyo.
4 Septemba 2025

Mwanasheria mkuu wa Uganda anasisitiza kuwa nchi hiyo imejitolea kwa makubaliano na Marekani kupokea watu waliofukuzwa kutoka nchi hiyo.

Mnamo Agosti 2025 nchi hiyo ya Afrika Mashariki ilithibitisha kuwa imefikia makubaliano na Marekani kukubali wahamiaji wa kigeni waliofukuzwa.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo