00:56
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Luhaga Mpina amesema hana mpango wowote wa kurejea kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM).
4 Septemba 2025

Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Luhaga Mpina amesema hana mpango wowote wa kurejea kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Akizungumza Septemba 3, jijini Dar es Salaam, Mpina ambaye uteuzi wake wa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ulitenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo (INEC), amesema kuwa hana mpango wa kurudi ‘nyumbani’, licha ya ombi lililotolewa na mgombea Urais wa CCM, Emmanuel Nchimbi.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo