| swahili
01:31
Afrika
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
31 Oktoba 2025

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ilimtangaza Dkt Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais visiwani humo.

Mwinyi,aligombea kupitia tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM), na ushindi umempa ridhaa ya Wazanzibari kwa muhula wa pili.

Mwinyi alipata ushindi wa 74.8% wa kura zilizopiga.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
Kampeni zakamilika Tanzania
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Safari ya Urais ya Raila Odinga