| Swahili
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
01:23
Afrika
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Mambo muhimu kuhusu uchaguzi wa Tanzania 2025
22 Oktoba 2025

Uchaguzi huu ni wa saba tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania, mnamo mwaka 1992.

Unafahamu kwamba wananchi wa Zanzibar hupiga kura tano?

Wazanzibari humpigia kura Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo na diwani.

Tofauti na nchi nyengine, nchini Tanzania matokeo ya urais hayapingwi kisheria.

Tazama Video zaidi
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu