24 Oktoba 2025
Ikiwa zimebaki siku kadhaa kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania, Waislamu walioshiriki Ibada ya Ijumaa katika misikiti mbalimbali nchini humo wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kupiga kura huku wito wa amani ukisisitizwa.


Ikiwa zimebaki siku kadhaa kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania, Waislamu walioshiriki Ibada ya Ijumaa katika misikiti mbalimbali nchini humo wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kupiga kura huku wito wa amani ukisisitizwa.