| Swahili
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
00:49
Afrika
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
29 Oktoba 2025

Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.

TRT Afrika, imekita kambi jijini Dodoma na kushuhudia zoezi hilo likiendelea kwa utulivu, ingawa mwitikio unaonekana kuwa mdogo ikilinganishwa na uchaguzi uliopita.

Tazama Video zaidi
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu