| Swahili
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
00:51
Afrika
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Wachezaji wa Tanzania wanasema umuhimu ulikuwa na kuhakikisha wanavuka hatua ya makundi kwa hivyo walipambana kupata matokeo

Taifa Stars ya Tanzania imeonyesha moyo wa kupambana baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.

Matokeo hayo yameitosha Tanzania kufuzu hatua ya 16 bora ya AFCON, ikiendelea kuandika historia katika mashindano haya kwa mshikamano, nidhamu na azma ya kusonga mbele zaidi.

Tazama Video zaidi
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Kiuno mkabaji Thomas Partey
Prince Harry ni Nani?
Mafao anayostahiki Nchimbi
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kocha Yaya Toure
Ainua mkono wake juu kwa miaka 53 kuushusha chini
Edwin Watenya Sifuna ni nani?
Gerrard: Mwamba wa Liverpool