| Swahili
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
00:51
Afrika
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Wachezaji wa Tanzania wanasema umuhimu ulikuwa na kuhakikisha wanavuka hatua ya makundi kwa hivyo walipambana kupata matokeo
1 Januari 2026

Taifa Stars ya Tanzania imeonyesha moyo wa kupambana baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.

Matokeo hayo yameitosha Tanzania kufuzu hatua ya 16 bora ya AFCON, ikiendelea kuandika historia katika mashindano haya kwa mshikamano, nidhamu na azma ya kusonga mbele zaidi.

Tazama Video zaidi
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"
AFCON 2025: Michuano yafunguliwa rasmi
Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu