| Swahili
AFRIKA
1 DK KUSOMA
Kenya: Maandamano yaathiri upatikanaji huduma za intaneti
Kulingana na NetBlocks, taasisi inayoshughulikia mwenendo wa matumizi wa huduma za intaneti duniani, huduma hizo zimeathirika kutokana na maandamano yakiendelea kushika kasi nchini Kenya.
Kenya: Maandamano yaathiri upatikanaji huduma za intaneti
Mchoro unaoonesha mwenendo wa upatikanaji wa huduma za intaneti nchini Kenya./Picha: netblocks X / Others