| Swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Ubalozi wa Uturuki unaomboleza kifo cha Mkuu wa Jeshi wa Libya
Ubalozi wa Uturuki nchini Libya umehuzunishwa na kifo cha Mkuu wa Jeshi wa nchi hiyo, Mohammed al-Haddad, ambaye alifariki katika ajali ya ndege pamoja na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi, alipokuwa akirejea kutoka ziara rasmi nchini Uturuki.
Ubalozi wa Uturuki unaomboleza kifo cha Mkuu wa Jeshi wa Libya
Mabaki ya ndege hiyo yalipatikana katika kijiji cha Kesikkavak katika wilaya ya Haymana mjini Ankara. / / AA
24 Desemba 2025

Miongoni mwa waliofariki pamoja na al-Haddad ni Kamanda wa Kikosi cha Ardhini, Brigedia Jenerali na mpiga picha wa ofisi ya vyombo vya habari vya jeshi.

Katika taarifa yake, ubalozi wa Uturuki ulisema kuwa umehuzunishwa sana na vifo hivyo.

"Tunaomba Mungu awarahemu waliofariki na tunatoa rambirambi zetu pamoja na dua za kuwapapa subira kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wananchi wote wa Libya, familia zao na wenzao katika jeshi," ilisema taarifa hiyo.

Mabaki ya ndege binafsi ya Falcon 50 yalipatikana na maafisa wa usalama wa Uturuki katika wilaya ya Haymana karibu na Ankara, kulingana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uturuki.

CHANZO:TRT Arabi, TRT Afrika
Soma zaidi
Uturuki yafichua maelezo ya mpango wa uchimbaji visima pwani ya Somalia
Waliowasababishia mateso watu wa Gaza ‘watawajibishwa’: Erdogan
Shirika la Ndege la Uturuki kujenga kituo kikubwa zaidi cha mizigo kwa zaidi ya bilioni $2.3
Fidan na Kalin wa Uturuki wakutana na Umerov wa Ukraine jijini Ankara
Zaidi ya watu 500,000 waandamana kuiunga mkono Palestina mjini Istanbul katika siku ya Mwaka Mpya
Uturuki kuruhusu viza bila malipo kwa raia wa China
Uturuki kuendeleza juhudi za amani na diplomasia mwaka 2026: Fidan
Uturuki haitakubali uchokozi katika eneo la Mediterania ya Mashariki: Rais Erdogan
Uturuki yaanza ujenzi wa kituo cha anga ya juu nchini Somalia: Waziri
Somalia inapongeza mkataba wa kuchimba mafuta na Uturuki kabla ya shughuli za baharini za 2026
Uturuki yapinga hatua ya Israel kuhusu Somaliland, yaahidi kuimarisha ushirikiano na Somalia
Balozi wa Somalia nchini Uturuki anapongeza uungwaji mkono wa serikali ya Uturuki
Uturuki na Armenia zakubaliana kurahisisha utoaji wa viza katika jitihada za kuimarisha uhusiano
Rais wa Uturuki apongeza 'juhudi za ujenzi mpya' wakati wa utoaji wa nyumba za waathiriwa 455,000
Jamii ya Waturuki yafungua msikiti mpya nchini Uganda
Uturuki inazindua mpango wa kwanza wa kitaifa wa kujiandaa na maafa kwa watoto
Uturuki inafanya maombi mjini Ankara kwa ajili ya wajumbe wa Libya waliofariki
Uturuki inalaani Israel kwa kutambua Somaliland
Uwanja wa ndege wa Sabiha Gökçen umehudumia abiria milioni 44.2 katika kipindi cha miezi 11
Wachunguzi wapekua eneo la ajali ya ndege iliyomuua Mkuu wa Jeshi la Libya