| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’
Askofu Ruwa'ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Jude Thadaeus Ruwa'ichi./Picha:Wengine
10 Novemba 2025

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thaddaues Ruwa'ichi amesema kuwa mauaji ya waandamanaji yanabaki kuwa chukizo mbele za Mungu.

Askofu Ruwa'ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.

"Taifa letu limejeruhiwa na Taifa letu limepoteza heshima kutokana na yale yaliyojiri wiki ya uchaguzi mkuu," amesema Askofu Mkuu Jude Thaddaeus katika ibada hiyo iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu, jijini Dar es Salaam.

Kulingana na kiongozi huyo wa dini, sio tu limepoteza heshima, taifa hilo pia limepoteza watu, ambao waliuwawa kiholela.

Alisema: Kuna watu waliuwawa wakiandamana lakini adhabu ya kuandamana sio kifo cha risasi.

“Matendo kama haya, ni chukizo mbele za Mungu.”

 

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Cape Verde, Mauritius na Ushelisheli wafanikiwa kuangamiza surua na  rubela
Rais wa Sudan Kusini Kiir amrejesha makamu wa rais katika mabadiliko ya baraza la mawaziri
Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao kutoka Al Fasher ya Sudan tangu kutwaliwa na RSF
Rais wa Tanzania amteua binti na mkwe wake katika Baraza la Mawaziri
Rais Samia amteua waziri mpya wa fedha, awaacha mawaziri wa mambo ya nje na madini madarakani
Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa
Mgodi waporomoka DRC na kuua watu wasiopungua 32
Wahamiaji 4 wafariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya watu kuzama pwani ya Libya
Kikundi cha matabibu kinaripoti visa ya ubakaji wa wasichana wa Al Fasher baada ya RSF kuteka
Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia
DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani 'ya kihistoria' nchini Qatar
Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji
Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano