| Swahili
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
01:21
Afrika
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Hili ni eneo la Coco Beach maarufu hapa jijini Dar es Salaam kwa watu kuja kuogelea lakini pia kupunga upepo na wapendwa wao.

Na kinachowavutia zaidi watu ni huduma zinazopatikana hapa ikiwemo mihogo ya kukaanga na mishkaki.

Kuna watu tayari wamefika hapa na hii ni dhahiri kwamba, licha ya kampeni za uchaguzi zinazoendelea, lakini maisha vile vile yanaendelea.

Tazama Video zaidi
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Kiuno mkabaji Thomas Partey
Prince Harry ni Nani?
Mafao anayostahiki Nchimbi
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kocha Yaya Toure
Ainua mkono wake juu kwa miaka 53 kuushusha chini
Edwin Watenya Sifuna ni nani?
Gerrard: Mwamba wa Liverpool