| swahili
01:21
Afrika
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Hili ni eneo la Coco Beach maarufu hapa jijini Dar es Salaam kwa watu kuja kuogelea lakini pia kupunga upepo na wapendwa wao.
26 Oktoba 2025

Na kinachowavutia zaidi watu ni huduma zinazopatikana hapa ikiwemo mihogo ya kukaanga na mishkaki.

Kuna watu tayari wamefika hapa na hii ni dhahiri kwamba, licha ya kampeni za uchaguzi zinazoendelea, lakini maisha vile vile yanaendelea.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
Kampeni zakamilika Tanzania
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?
Safari ya Urais ya Raila Odinga