01:36
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha upinzani cha NLD ametaka mamlaka za nchi hiyo kutoa fursa sawa kwa wagombea wote hasa linapokuja suala la ulinzi kwa wagombea urais bila kujali itikadi ya vyama wanavyotoka.
3 Septemba 2025

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha upinzani cha NLD ametaka mamlaka za nchi hiyo kutoa fursa sawa kwa wagombea wote hasa linapokuja suala la ulinzi kwa wagombea urais bila kujali itikadi ya vyama wanavyotoka.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo