02:18
Afrika
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Ni mpango wa kimkakati wa bara unaolenga kuzisaidia nchi za Afrika kupata ufumbuzi wa baadhi ya changamoto katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, changamoto ambazo haziwezi kupuuzwa tena. Athari zinaonekana kila mahali.
8 Septemba 2025

Viongozi wa Afrika wanakutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa katika mkutano wao wa pili wa mabadiliko ya tabia nchi barani Afrika.

Ni mpango mkakati wa bara unaolenga kuzisaidia nchi za Afrika kupata ufumbuzi wa baadhi ya changamoto katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi, changamoto wanazodai kuwa  haziwezi kupuuzwa tena.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
CCM yazindua kampeni kwa kishindo