00:22
Afrika
CCM yazindua kampeni kwa kishindo
Chama tawala nchini Tanzania, CCM kimezindua kampeni zake kwa ajili ya uchaguzi wa madiwani, wabunge na Urais.
1 Septemba 2025

Chama tawala nchini Tanzania, CCM kimezindua kampeni zake kwa ajili ya uchaguzi wa madiwani, wabunge na Urais.

Kampeni hizo zilizinduliwa kwenye uwanja wa Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam, ambako chama hicho kilimnadi mgombea wake Samia Suluhu Hassan.

Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, unatarajia kufanyika Oktoba 29, 2025.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi