01:06
CHAUMMA yaahidi mageuzi ya uchumi
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) nchini Tanzania kimezindua rasmi kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
2 Septemba 2025

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) nchini Tanzania kimezindua rasmi kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Katika moja ya ahadi zake, chama hicho kimeahidi kuongeza furaha miongoni mwa Watanzania, kwa kupunguza ukosefu wa ajira, na kufufua sekta za kiuchumi kama pamba na viwanda.

Tazama Video zaidi
Mgombea wa Zanzibar: Ali Hassan Mwinyi
Uchaguzi Tanzania na ahadi Lukuki
Zitto ataka Kigoma iongoze kwa kila kitu
Mgombea Urais Tanzania aahidi kufuga mamba Ikulu
Luhaga Joelson Mpina: Panda shuka yake ya siasa ya Tanzania hadi upinzani
Afrika yajadili mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano nchini Ethiopia
Uganda kupokea wahamiaji kutoka USA
Mpina: Sirudi CCM ng'oo
Chama cha upinzania Tanzania NLD chataka fursa sawa kuelekea Uchaguzi Mkuu
CCM yazindua kampeni kwa kishindo