| Swahili
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
01:17
Afrika
Othman Masoud Othman asema Zanzibar sio milki ya mtu
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman ameseama Zanzibar sio milki ya mtu hivyo, chama chochote kinaweza kuchukua uongozi.

OMO amezungumza hayo katika moja ya mikutano wa kampeni. Othman ni mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Tazama Video zaidi
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Kiuno mkabaji Thomas Partey
Prince Harry ni Nani?
Mafao anayostahiki Nchimbi
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kocha Yaya Toure
Ainua mkono wake juu kwa miaka 53 kuushusha chini
Edwin Watenya Sifuna ni nani?
Gerrard: Mwamba wa Liverpool